Luke 23:1-2
Isa Apelekwa Kwa Pilato
(Mathayo 27:1-14; Marko 15:1-5; Yohana 18:28-38)
1 aKisha umati wote wa watu ukainuka na kumpeleka Isa kwa Pilato. 2 bNao wakaanza kumshtaki wakisema: “Tumemwona huyu mtu akipotosha taifa letu, akiwazuia watu wasilipe kodi kwa Kaisari na kujiita kuwa yeye ni Al-Masihi, ▼▼ Al-Masihi maana yake ni Masiya , yaani Aliyetiwa mafuta.
mfalme.”
Copyright information for
SwhKC